Swali: Unajua nini kuhusu Dahlaan ambaye ameandika kitabu ”ad-Durar as-Saniyyah fiyr-Radd ´alaal-Wahhaabiyyah”?
Jibu: Najua kuwa ni mpotevu; analingania katika upotevu na anatetea upotevu.
Bwana huyu alikuwa ni Qaadhiy huko Makkah. Kuna muhindi mmoja ametunga kitabu kwa jina “Swiyaanat-ul-Insaan ´an Waswasat-ish-Shaykh Dahlaan”. Jambo lake liko wazi. Anazingatiwa ni mwenye kufuata kichwa mchunga na anaita katika kufuata kichwa mchunga.
- Mhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://www.muqbel.net/fatwa.php?fatwa_id=2314
- Imechapishwa: 25/01/2020
Swali: Unajua nini kuhusu Dahlaan ambaye ameandika kitabu ”ad-Durar as-Saniyyah fiyr-Radd ´alaal-Wahhaabiyyah”?
Jibu: Najua kuwa ni mpotevu; analingania katika upotevu na anatetea upotevu.
Bwana huyu alikuwa ni Qaadhiy huko Makkah. Kuna muhindi mmoja ametunga kitabu kwa jina “Swiyaanat-ul-Insaan ´an Waswasat-ish-Shaykh Dahlaan”. Jambo lake liko wazi. Anazingatiwa ni mwenye kufuata kichwa mchunga na anaita katika kufuata kichwa mchunga.
Mhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://www.muqbel.net/fatwa.php?fatwa_id=2314
Imechapishwa: 25/01/2020
https://firqatunnajia.com/dahlaan-alikuwa-mpotevu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)