Swali: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Riziki yangu imewekwa chini ya kivuli cha mkuki.”[1]
Nini maana yake?
Jibu: Kunamaanishwa mateka. Mateka yalikuwa ni halali kwae na hayakuwa halali kwa wengine wote kabla yake. Ni katika sifa za kipekee za Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
فَكُلُوا مِمَّا غَنِمْتُمْ حَلَالًا طَيِّبًا ۚ وَاتَّقُوا اللَّـهَ ۚ إِنَّ اللَّـهَ غَفُورٌ رَّحِيمٌ
“Kuleni katika mlivyopata ghanima ambavyo ni halali na vizuri na mcheni Allaah. Hakika Allaah ni mwingi wa kusamehe, Mwenye kurehemu.”[2]
Mateka ya Jihaad ni halali na safi. Wanasema kuwa mateka ya Jihaad ndio chumo safi kabisa, kwa kuwa Allaah amesema:
حَلَالًا طَيِّبًا
“… ni halali na vizuri.”
[1] Ahmad (03/50).
[2] 08:69
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (7) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdt–15041434.mp3
- Imechapishwa: 21/03/2017
Swali: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Riziki yangu imewekwa chini ya kivuli cha mkuki.”[1]
Nini maana yake?
Jibu: Kunamaanishwa mateka. Mateka yalikuwa ni halali kwae na hayakuwa halali kwa wengine wote kabla yake. Ni katika sifa za kipekee za Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
فَكُلُوا مِمَّا غَنِمْتُمْ حَلَالًا طَيِّبًا ۚ وَاتَّقُوا اللَّـهَ ۚ إِنَّ اللَّـهَ غَفُورٌ رَّحِيمٌ
“Kuleni katika mlivyopata ghanima ambavyo ni halali na vizuri na mcheni Allaah. Hakika Allaah ni mwingi wa kusamehe, Mwenye kurehemu.”[2]
Mateka ya Jihaad ni halali na safi. Wanasema kuwa mateka ya Jihaad ndio chumo safi kabisa, kwa kuwa Allaah amesema:
حَلَالًا طَيِّبًا
“… ni halali na vizuri.”
[1] Ahmad (03/50).
[2] 08:69
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (7) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdt–15041434.mp3
Imechapishwa: 21/03/2017
https://firqatunnajia.com/chumo-halali-na-safi-kabisa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
