Swali: Ni kipi kinachotangulizwa inapokuja katika suala la kutoa kafara kwa nguo au chakula kumpa masikini? Kwa sababu nguo inaweza kuwa na bei zaidi kuliko chakula cha kuwalisha watu kumi.

Jibu: Mtu ana khiyari. Allaah amempa khiyari kati ya mambo mawili. Akichagua moja kati ya hayo mawili, inatosha.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (42)
  • Imechapishwa: 28/06/2024