Swali: Je, ni lazima kusugua mwili mzima kwa mikono wakati wa kuoga josho la janaba au inatosha kuumwagilia maji tu?
Jibu: Inatosha kuumwagilia maji na kuyaeneza juu ya mwili mzima wakati wa kuoga janaba, hedhi na damu ya uzazi. Hayo ni kutokana na kuenea kwa Hadiyth na Aayah juu ya hilo.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (10/187)
- Imechapishwa: 29/08/2021
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket