Swali: Je, ni lazima kusugua mwili mzima kwa mikono wakati wa kuoga josho la janaba au inatosha kuumwagilia maji tu?
Jibu: Inatosha kuumwagilia maji na kuyaeneza juu ya mwili mzima wakati wa kuoga janaba, hedhi na damu ya uzazi. Hayo ni kutokana na kuenea kwa Hadiyth na Aayah juu ya hilo.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (10/187)
- Imechapishwa: 29/08/2021
Swali: Je, ni lazima kusugua mwili mzima kwa mikono wakati wa kuoga josho la janaba au inatosha kuumwagilia maji tu?
Jibu: Inatosha kuumwagilia maji na kuyaeneza juu ya mwili mzima wakati wa kuoga janaba, hedhi na damu ya uzazi. Hayo ni kutokana na kuenea kwa Hadiyth na Aayah juu ya hilo.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (10/187)
Imechapishwa: 29/08/2021
https://firqatunnajia.com/cha-lazima-ni-mwili-mzima-upate-maji/