Swali: Je, ni bora kuswali ardhini au kwenye mikeka?
Jibu: Msingi ni kuswali ardhini. Ndio bora zaidi. Ardhi ndio bora. Lakini watu waliponeemeshwa na hali zao zikabadilika ndipo wakahitaji mikeka ili isiwe hoja ya kuacha kuswali katika mkusanyiko.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24696/هل-الصلاة-على-الارض-افضل-من-الفرش
- Imechapishwa: 28/11/2024
Swali: Je, ni bora kuswali ardhini au kwenye mikeka?
Jibu: Msingi ni kuswali ardhini. Ndio bora zaidi. Ardhi ndio bora. Lakini watu waliponeemeshwa na hali zao zikabadilika ndipo wakahitaji mikeka ili isiwe hoja ya kuacha kuswali katika mkusanyiko.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24696/هل-الصلاة-على-الارض-افضل-من-الفرش
Imechapishwa: 28/11/2024
https://firqatunnajia.com/bora-ni-kuswali-kwenye-mkeka-au-ardhini/