Swali 658: Je, ni sawa mtu akiwa peke yake chumbani mwake kuwa uchi?
Jibu: Lililo bora zaidi ni kujisitiri, hata kama hakuna mtu. Ama kwa upande wa kuoga, hilo ni mahali pa dharurah.
659 – Nilimuuliza kuhusu kutumia dalili Hadiyth ya Abu Hurayrah (Radhiya Allaahu ´anh) inayosema:
”Muusa alikuwa anaoga peke yake.”?
Jibu: Shari´ah ya waliokuwa kabla yetu ni Shari´ah kwetu. Isitoshe hii ni amri ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 240
- Imechapishwa: 21/06/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
Swali 658: Je, ni sawa mtu akiwa peke yake chumbani mwake kuwa uchi?
Jibu: Lililo bora zaidi ni kujisitiri, hata kama hakuna mtu. Ama kwa upande wa kuoga, hilo ni mahali pa dharurah.
659 – Nilimuuliza kuhusu kutumia dalili Hadiyth ya Abu Hurayrah (Radhiya Allaahu ´anh) inayosema:
”Muusa alikuwa anaoga peke yake.”?
Jibu: Shari´ah ya waliokuwa kabla yetu ni Shari´ah kwetu. Isitoshe hii ni amri ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 240
Imechapishwa: 21/06/2025
Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
https://firqatunnajia.com/bora-ni-kujisitiri-hata-ukiwa-peke-yako-chumbani/