Swali: Je, bora kwa mgonjwa ni kuacha kuomba kufanyiwa matabano?
Jibu: Ndio bora. Isipokuwa haja ikimpelekea kufanya hivo. Ni kama ambavo zinamuwepesikia sababu nyenginezo. Kwa ajili hiyo Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akaamrisha kufanya matabano kutokana na kijicho. Ni kama kujitibu kwa kujichoma kwa chuma cha moto. Bora ni kuacha kufanya hivo, kwa sababu inachukiza. Hata hivyo mtu akihitajia kufanya hivo yale machukizo yanaondoka.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24376/هل-الافضل-للمريض-ترك-طلب-الرقية
- Imechapishwa: 03/10/2024
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)