Swali: Vipi kuhusu kusoma Aayah mbili za mwisho za Suurah ”al-Baqarah”?
Jibu: Katika mwanzo wa usiku. Mwenye kuzisoma mwanzoni mwa usiku, basi zinamtosheleza. Inahusiana na Aayah mbili za mwisho za Suurah ”al-Baqarah”. Mwenye kuzisoma katika usiku, basi zinamtosheleza. Azisome mwanzoni mwa usiku au katika katikati ya usiku. Imepokelewa kuwa ni mwanzoni mwa usiku. Bora zaidi ni kuzisoma mwanzoni mwa usiku.
Swali: Kabla ya kulala?
Jibu: Katika mwanzo wa usiku, kwa maana kabla ya kulala. Bora azisome mwanzoni mwa usiku. Afanye haraka kuzisoma mwanzoni mwa usiku.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/27635/متى-يستحب-قراءة-الايتين-اخر-سورة-البقرة
- Imechapishwa: 06/04/2025
Swali: Vipi kuhusu kusoma Aayah mbili za mwisho za Suurah ”al-Baqarah”?
Jibu: Katika mwanzo wa usiku. Mwenye kuzisoma mwanzoni mwa usiku, basi zinamtosheleza. Inahusiana na Aayah mbili za mwisho za Suurah ”al-Baqarah”. Mwenye kuzisoma katika usiku, basi zinamtosheleza. Azisome mwanzoni mwa usiku au katika katikati ya usiku. Imepokelewa kuwa ni mwanzoni mwa usiku. Bora zaidi ni kuzisoma mwanzoni mwa usiku.
Swali: Kabla ya kulala?
Jibu: Katika mwanzo wa usiku, kwa maana kabla ya kulala. Bora azisome mwanzoni mwa usiku. Afanye haraka kuzisoma mwanzoni mwa usiku.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/27635/متى-يستحب-قراءة-الايتين-اخر-سورة-البقرة
Imechapishwa: 06/04/2025
https://firqatunnajia.com/bora-kuzisoma-mwanzoni-mwa-usiku/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
