Ahmad amesema:

”Napendelea zaidi mfungaji ale katika safari kuliko kufunga.”

Ishaaq pia amesema vivyo hivyo.

  • Muhusika: Imaam Ishaaq bin Mansuur al-Kawsaj al-Marwaziy
  • Tarjama: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ahmad bin Hanbal wa Ishaaq bin Raahuuyah (683)
  • Imechapishwa: 01/03/2025