Swali: Ni ipi hukumu ya kuweka pesa katika benki ya ribaa bila kuchukua faida?
Jibu: Akihitajia kufanya hivo kwa sababu ya haja hakuna neno. Midhali hachukui faida ni sawa. Lakini lililo bora ni yeye azihifadhi sehemu ambayo yule mwenye nazo hazitumii katika ribaa. Lakini hata hivyo azihitajia kufanya hivo kutokana na dharurah hakuna neno. Kwa sharti asichukue ile faida.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (02) http://audio2.islamweb.net/lecturs/aalrrajhee/429/429.mp3
- Imechapishwa: 11/03/2018
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket