12Hakika mimi bado nina mengi ya kukwelezeni, lakini hamwezi kuyastahimili hivi sasa. 13Lakini pale atakapokujieni, huyo Roho wa kweli, basi atakuongozeni katika ukweli wote; kwa maana hatoongea kutoka kwake mwenyewe, bali atafikisha yale yote anayosikia na kukujuzeni mambo yanayokuja. 14Yeye atanitukuza mimi, kwa kuwa atachukua katika yaliyo yangu na kuwajuzeni nayo.
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Yohana 16:12-13
- Imechapishwa: 22/02/2020
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)