Swali: Msemo unaosema kuwa Ahl-ul-Bid´ah ni waovu zaidi kuliko watenda maasi hautakiwi kuchukuliwa kama ilivyo ni sahihi?
Jibu: Hapana, si sahihi. Bid´ah ni shari zaidi kuliko maasi. Haijalishi kitu ni Bid´ah aina gani. Kwa sababu mtenda madhambi anajua kuwa ni mwenye kukosea na kunatarajiwa kuwa atatubu. Upande mwingine mtu wa Bid´ah yeye anaona kuwa yuko katika haki na haoni kuwa ni mwenye kutenda maasi na hatubu. Ni mara chache sana mzushi kutubu. Bid´ah ni shari zaidi kuliko madhambi. Bid´ah ni yenye kupendwa zaidi kwa Ibliys kuliko madhambi.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/14725
- Imechapishwa: 03/05/2018
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)