Swali: Vipi kwa mfano wakati wa kuomba du´aa baada ya swalah ya faradhi akaomba du´aa kwa kunyanyua mikono juu kisha akapangusa uso wake?
Jibu: Hapana, hilo ni jambo halikuwekwa katika Shari´ah. Baada ya faradhi hakunyanyuliwi mikono juu. Hata hivyo ni sawa akiomba baina du´aa baada ya faradhi baina yake yeye na nafsi yake.
Swali: Anyanyua mikono yake na anasema kuwa ni Bid´ah?
Jibu: Haya ni maovu. Hiyo ni Bid´ah.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/1071/رفع-اليدين-بالدعاء-بعد-الفريضة
- Imechapishwa: 24/01/2026
Swali: Vipi kwa mfano wakati wa kuomba du´aa baada ya swalah ya faradhi akaomba du´aa kwa kunyanyua mikono juu kisha akapangusa uso wake?
Jibu: Hapana, hilo ni jambo halikuwekwa katika Shari´ah. Baada ya faradhi hakunyanyuliwi mikono juu. Hata hivyo ni sawa akiomba baina du´aa baada ya faradhi baina yake yeye na nafsi yake.
Swali: Anyanyua mikono yake na anasema kuwa ni Bid´ah?
Jibu: Haya ni maovu. Hiyo ni Bid´ah.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/1071/رفع-اليدين-بالدعاء-بعد-الفريضة
Imechapishwa: 24/01/2026
https://firqatunnajia.com/bidah-inayofanywa-na-wengi-baada-ya-swalah/