Swali: Ni ipi hukumu ya kufanya biashara ya nyani?
Jibu: Ni haramu. Ni haramu kufanya biashara ya nyani, mijibwa na wanyama wakali. Zote hizi ni haramu.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (105) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/20-03-1441-H-%20igah.mp3
- Imechapishwa: 28/11/2020
Swali: Ni ipi hukumu ya kufanya biashara ya nyani?
Jibu: Ni haramu. Ni haramu kufanya biashara ya nyani, mijibwa na wanyama wakali. Zote hizi ni haramu.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (105) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/20-03-1441-H-%20igah.mp3
Imechapishwa: 28/11/2020
https://firqatunnajia.com/biashara-ya-wanyama-wakali/