Swali: Ni ipi hukumu ya kufanya biashara wanyama wa kufuga kama paka na ndege?
Jibu: Haijuzu. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amekataza biashara ya paka. Haijuzu kufanya biashara ya paka wala biashara ya mbwa.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://www.alfawzan.af.org.sa/ar/node/18073
- Imechapishwa: 20/07/2019
Swali: Ni ipi hukumu ya kufanya biashara wanyama wa kufuga kama paka na ndege?
Jibu: Haijuzu. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amekataza biashara ya paka. Haijuzu kufanya biashara ya paka wala biashara ya mbwa.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://www.alfawzan.af.org.sa/ar/node/18073
Imechapishwa: 20/07/2019
https://firqatunnajia.com/biashara-ya-wanyama-wa-mifugo/