Swali: Ni ipi hukumu ya kuweka na kuuza vitabu vya uchawi?
Jibu: Ni munkari na kueneza uchawi. Kueneza vitabu vya uchawi ni munkari. Ni wajibu kukemea mauzo ya vitabu hivi, kuvichana na kumuadhibu mwenye kuvieneza.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Nawaaqidh-il-Islaam (07) http://ajurry.com/safrawy/chorohat-elakida/chorohat-nawakid-elislam/charh-salah-fawzan/07.mp3
- Imechapishwa: 13/01/2019
Swali: Ni ipi hukumu ya kuweka na kuuza vitabu vya uchawi?
Jibu: Ni munkari na kueneza uchawi. Kueneza vitabu vya uchawi ni munkari. Ni wajibu kukemea mauzo ya vitabu hivi, kuvichana na kumuadhibu mwenye kuvieneza.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Nawaaqidh-il-Islaam (07) http://ajurry.com/safrawy/chorohat-elakida/chorohat-nawakid-elislam/charh-salah-fawzan/07.mp3
Imechapishwa: 13/01/2019
https://firqatunnajia.com/biashara-ya-vitabu-vya-uchawi/