Swali: Je, inafaa kufungua benki za mbegu za kiume?
Jibu: Haijuzu. Jambo hilo lina uharibifu mkubwa. Hili linapelekea kujinasibisha na nasaha baada ya kufa kwa mtu. Haijuzu. Ni lazima kuzifunga.
Swali: Kuna uwezekano manii haya yakahifadhiwa kwenye mirija ya majaribio yenye lebo kwa kila mwanamke.
Jibu: Hapana. Ni lazima kuzifunga.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/21642/ما-حكم-انشاء-بنك-للبن-الادميات
- Imechapishwa: 04/09/2022
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)