Swali: Baadhi ya waadhini wanasema:
بِسْمِ اللّهِ الرَّحْمَنِ الرَّحِيمِ
“Kwa jina la Allaah, Mwingi wa rehema, Mwenye kurehemu.”
kwa sauti ya juu kabla ya adhaana. Je, ni katika Sunnah?
Jibu: Hapana. Haitakiwi kabla ya adhaana kusema chochote ili watu wasidhanie kuwa ni katika adhaana. Haitakiwi kabla ya adhaana kusema chochote.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (23) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tafsirayat-12-07-1435-01_0.mp3
- Imechapishwa: 20/06/2020
Swali: Baadhi ya waadhini wanasema:
بِسْمِ اللّهِ الرَّحْمَنِ الرَّحِيمِ
“Kwa jina la Allaah, Mwingi wa rehema, Mwenye kurehemu.”
kwa sauti ya juu kabla ya adhaana. Je, ni katika Sunnah?
Jibu: Hapana. Haitakiwi kabla ya adhaana kusema chochote ili watu wasidhanie kuwa ni katika adhaana. Haitakiwi kabla ya adhaana kusema chochote.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (23) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tafsirayat-12-07-1435-01_0.mp3
Imechapishwa: 20/06/2020
https://firqatunnajia.com/basmalah-kabla-ya-adhaana/