´Uthmaan ameeleza kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Yule mwenye kutambua kuwa hapana mwabudiwa wa haki isipokuwa Allaah basi ataingia Peponi.”[1]
Hadiyth ni geni, amepwekeka nayo Ibn Humraan katika kuisimulia.
Mja hawi mwenye kutambua ya kwamba ´hapana mwabudiwa wa haki isipokuwa Allaah` mpaka pale ambapo atakuwa ni mwenye kujitenga mbali na dini zote isiyokuwa Uislamu na mpaka aseme kwa yakini ´hapana mwabudiwa wa haki isipokuwa Allaah`. Endapo atajua na akakataa kutamka licha ya kwamba anao uwezo wa kufanya hivo, basi anazingatiwa ni kafiri.
[1] Ahmad (1/65). Ni yenye cheni ya wapokezi Swahiyh kwa mujibu wa Ahmad Shaakir.
- Muhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Ahmad adh-Dhahabiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Siyar A´laam-in-Nubalaa’ (14/306)
- Imechapishwa: 06/11/2020
´Uthmaan ameeleza kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Yule mwenye kutambua kuwa hapana mwabudiwa wa haki isipokuwa Allaah basi ataingia Peponi.”[1]
Hadiyth ni geni, amepwekeka nayo Ibn Humraan katika kuisimulia.
Mja hawi mwenye kutambua ya kwamba ´hapana mwabudiwa wa haki isipokuwa Allaah` mpaka pale ambapo atakuwa ni mwenye kujitenga mbali na dini zote isiyokuwa Uislamu na mpaka aseme kwa yakini ´hapana mwabudiwa wa haki isipokuwa Allaah`. Endapo atajua na akakataa kutamka licha ya kwamba anao uwezo wa kufanya hivo, basi anazingatiwa ni kafiri.
[1] Ahmad (1/65). Ni yenye cheni ya wapokezi Swahiyh kwa mujibu wa Ahmad Shaakir.
Muhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Ahmad adh-Dhahabiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Siyar A´laam-in-Nubalaa’ (14/306)
Imechapishwa: 06/11/2020
https://firqatunnajia.com/bado-ni-kafiri/
Mshirikishe mwenzako:
- Share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Print (Opens in new window) Print
- Email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Share on X (Opens in new window) X
- Share on Pocket (Opens in new window) Pocket