Swali: Je, inajuzu baba wa mke kuwa shahidi katika ndoa?
Jibu: Hapana. Baba wa mke ni walii. Ni lazima kupatikane walii na mashahidi wawili.
“Hakuna ndoa isipokuwa mpaka kwa walii na mashahidi wawili waadilifu.”
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (68) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13864
- Imechapishwa: 16/11/2014
Swali: Je, inajuzu baba wa mke kuwa shahidi katika ndoa?
Jibu: Hapana. Baba wa mke ni walii. Ni lazima kupatikane walii na mashahidi wawili.
“Hakuna ndoa isipokuwa mpaka kwa walii na mashahidi wawili waadilifu.”
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (68) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13864
Imechapishwa: 16/11/2014
https://firqatunnajia.com/baba-hawi-shahidi-wa-binti-yake-katika-ndoa__trashed/