Swali: Je, ni lazima kwa mtoto kumhudumia baba, ikiwa sio fakiri, pale anapoomba jambo hilo?

Jibu: Ikiwa baba ameomba matumizi na anakasirika asipokubaliwa, amhudumie. Aepuke ghadabu zake. Huku ni katika kuwafanyia wema wazazi wawili.

  • Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (42)
  • Imechapishwa: 14/06/2024