Swali: Kuna mtu ni mfanya kazi ambaye anafanya kazi nje ya nchi yake mbali na wao. Mwisho wa Ramadhaan alipotaka kwenda kazini kwake akamuwakilisha mtoto wake ili yeye ndiye amtolee Zakaat-ul-Fitwr na awatolee vilevile wengine. Ni ipi hukumu ya kitendo hichi?
Jibu: Hakuna neno. Inafaa kwa mtu kuwawakilisha watoto wake wamtolee Zakaat-ul-Fitwr katika wakati wake kwa sababu ya yeye kwenda katika mji mwingine kwa ajili ya kazi.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (18/262)
- Imechapishwa: 21/06/2017
Swali: Kuna mtu ni mfanya kazi ambaye anafanya kazi nje ya nchi yake mbali na wao. Mwisho wa Ramadhaan alipotaka kwenda kazini kwake akamuwakilisha mtoto wake ili yeye ndiye amtolee Zakaat-ul-Fitwr na awatolee vilevile wengine. Ni ipi hukumu ya kitendo hichi?
Jibu: Hakuna neno. Inafaa kwa mtu kuwawakilisha watoto wake wamtolee Zakaat-ul-Fitwr katika wakati wake kwa sababu ya yeye kwenda katika mji mwingine kwa ajili ya kazi.
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (18/262)
Imechapishwa: 21/06/2017
https://firqatunnajia.com/baba-aliyesafiri-anamuwakilisha-mwanawe-kutoa-zakaat-ul-fitwr/
Mshirikishe mwenzako:
- Share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Print (Opens in new window) Print
- Email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Share on X (Opens in new window) X
- Share on Pocket (Opens in new window) Pocket