Swali: Ni fadhila zipi anazopata muislamu akiwa na mazowea ya kutawadha kila unapomchenguka?
Jibu: Fadhila anazopata muislamu anaposhika wudhuu´ kila unapomchenguka ni kuwa anabaki hali ya kuwa na twahara. Kubaki na wudhuu´ ni miongoni mwa matendo mema. Jengine ni kwamba huenda akamdhuru Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala) katika hali yote hiyo. Anakuwa amemdhukuru Allaah akiwa na twahara. Jengine vilevile ni kwamba huenda swalah ikamfikia akiwa sehemu ambayo hakuna maji. Mtu kama huyu anakuwa yutayari kwa ajili ya swalah hii. Muhimu ni kwamba mtu kubaki na wudhuu´ ndani yake kuna faida nyingi.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (11/140)
- Imechapishwa: 30/06/2017
Swali: Ni fadhila zipi anazopata muislamu akiwa na mazowea ya kutawadha kila unapomchenguka?
Jibu: Fadhila anazopata muislamu anaposhika wudhuu´ kila unapomchenguka ni kuwa anabaki hali ya kuwa na twahara. Kubaki na wudhuu´ ni miongoni mwa matendo mema. Jengine ni kwamba huenda akamdhuru Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala) katika hali yote hiyo. Anakuwa amemdhukuru Allaah akiwa na twahara. Jengine vilevile ni kwamba huenda swalah ikamfikia akiwa sehemu ambayo hakuna maji. Mtu kama huyu anakuwa yutayari kwa ajili ya swalah hii. Muhimu ni kwamba mtu kubaki na wudhuu´ ndani yake kuna faida nyingi.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (11/140)
Imechapishwa: 30/06/2017
https://firqatunnajia.com/baadhi-ya-fadhila-za-kudumu-na-wudhuu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)