Baada ya kumnunua mnyama wa Udhhiyah pembe au sikio limekatika

Swali: Nikimnunua mnyama wa Udhhiyah aliyesalimika na kasoro kisha baadaye kwa bahati mbaya nikamvunja pembe yake au nikakata sikio lake bila ya kufanya uzembe. Je, mnyama huyo anasihi?

Jbu: Udhahiri ni kwamba amesha ainishwa na anasihi – Allaah akitaka.

  • Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/6275/ما-حكم-العيب-الطارى-بعد-شراء-الاضحية
  • Imechapishwa: 06/06/2024