Swali: Je, Suurah ”az-Zalzalah” ina athari juu ya ujauzito wa mgonjwa aliyeathiriwa na mashaytwaan kupitia uchawi au husuda? Mwanamke anasema kuwa mmoja wa wasomaji amesema kuwa akisomewe Suurah hiyo basi huathiri mimba yake.
Jibu: Hapana, hili halina msingi. Ni mambo ya ukhurafi.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/28813/هل-صح-ان-لسورة-الزلزلة-اثرا-على-الحمل
- Imechapishwa: 25/04/2025
Swali: Je, Suurah ”az-Zalzalah” ina athari juu ya ujauzito wa mgonjwa aliyeathiriwa na mashaytwaan kupitia uchawi au husuda? Mwanamke anasema kuwa mmoja wa wasomaji amesema kuwa akisomewe Suurah hiyo basi huathiri mimba yake.
Jibu: Hapana, hili halina msingi. Ni mambo ya ukhurafi.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/28813/هل-صح-ان-لسورة-الزلزلة-اثرا-على-الحمل
Imechapishwa: 25/04/2025
https://firqatunnajia.com/az-zalzalah-kwa-mjamzito/