Atekeleze nadhiri ya mgonjwa wake ambaye amepona kisha akaugua tena?

634 – Nilimuuliza Shaykh wetu kuhusu mwanamke aliyeweka nadhiri kwamba akimponya Allaah baba yake atafanya kadhaa na kadhaa, kisha baba yake akapona, halafu akaugua tena ugonjwa huohuo na ukawa ndio sababu ya kufa kwake. Je, atimize nadhiri yake?

Jibu: Hapana, kwa kuwa sharti lake halikutimia.

  • Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
  • Tarjama: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 224
  • Imechapishwa: 17/06/2025
  • Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´