Swali: Kuna mtu ameingia msikitini na akawakuta watu wanaswali ilihali safu imeshajaa. Je, inafaa kwake kuswali peke yake nyuma ya safu?
Jibu: Hapana. Ima ajiunge na safu hiyo, asimame kuliani kwa imamu au asubiri atapokuja mtu aunge naye safu.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (49) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/m-3%20%20-%2012%20-%202%20-%201437.mp3
- Imechapishwa: 14/10/2018
Swali: Kuna mtu ameingia msikitini na akawakuta watu wanaswali ilihali safu imeshajaa. Je, inafaa kwake kuswali peke yake nyuma ya safu?
Jibu: Hapana. Ima ajiunge na safu hiyo, asimame kuliani kwa imamu au asubiri atapokuja mtu aunge naye safu.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (49) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/m-3%20%20-%2012%20-%202%20-%201437.mp3
Imechapishwa: 14/10/2018
https://firqatunnajia.com/aswali-peke-yake-nyuma-ya-safu/