Swali: Kuna mwanamke ametwahirika wakati wa ´Ishaa. Je, analazimika kuswali Maghrib?
Jibu: Ndio, anatakiwa kuswali Maghrib na ´Ishaa katika moja ya maoni ya wanazuoni. Wako wanazuoni wengine wenye kuona kuwa anatakiwa kuswali ´Ishaa peke yake. Maoni ya karibu zaidi ni kwamba aswali Maghrib na ´Ishaa. Kwa sababu ni swalah mbili ambazo moja inakusanywa na nyingine. Vivyo hivyo endapo atasafika kabla ya Maghrib, basi atatakiwa kuswali Dhuhr na ´Aswr.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (23)
- Imechapishwa: 28/01/2022
Swali: Kuna mwanamke ametwahirika wakati wa ´Ishaa. Je, analazimika kuswali Maghrib?
Jibu: Ndio, anatakiwa kuswali Maghrib na ´Ishaa katika moja ya maoni ya wanazuoni. Wako wanazuoni wengine wenye kuona kuwa anatakiwa kuswali ´Ishaa peke yake. Maoni ya karibu zaidi ni kwamba aswali Maghrib na ´Ishaa. Kwa sababu ni swalah mbili ambazo moja inakusanywa na nyingine. Vivyo hivyo endapo atasafika kabla ya Maghrib, basi atatakiwa kuswali Dhuhr na ´Aswr.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (23)
Imechapishwa: 28/01/2022
https://firqatunnajia.com/aswali-maghrib-na-ishaa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)