Asiyemfanyia Tabdiy´ mzushi basi naye ni mzushi

Swali: Je, kanuni inayosema asiyemfanyia Tabdiy´ mzushi basi na yeye ni mzushi ni sahihi?

Jibu: Ndio. Kwa sababu amejuzisha Bid´ah. Kwa sababu amejuzisha Bid´ah na akamkubalia kwayo.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (77)
  • Imechapishwa: 05/11/2022