112 – Nilimuuliza Shaykh wetu kuhusu asiye na wudhuu´ kushika jalada lililoambatanishwa na msahafu?
Jibu: Asiushike, kwa kuwa kilichoambatanishwa kina hukumu ya msahafu.
Swali 113: Je, inaruhusiwa kushika jalada la msahafu?
Jibu: Ngozi iliyoambatanishwa ni sehemu ya kurasa za msahafu, lakini ikiwa imetenganishwa basi inaruhusiwa kuigusa.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 62
- Imechapishwa: 17/03/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
112 – Nilimuuliza Shaykh wetu kuhusu asiye na wudhuu´ kushika jalada lililoambatanishwa na msahafu?
Jibu: Asiushike, kwa kuwa kilichoambatanishwa kina hukumu ya msahafu.
Swali 113: Je, inaruhusiwa kushika jalada la msahafu?
Jibu: Ngozi iliyoambatanishwa ni sehemu ya kurasa za msahafu, lakini ikiwa imetenganishwa basi inaruhusiwa kuigusa.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 62
Imechapishwa: 17/03/2025
Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
https://firqatunnajia.com/asiye-na-wudhuu-kushika-jalada-la-msahafu/