Swali: Kuna mtu aliacha swalah na swawm kwa miaka mingi. Je, azilipe baada ya kutubia?
Jibu: Tawbah inatosha. Atubu kwa Allaah na achunge swalah na swawm katika mustakabali. Kwa sababu kuacha swalah ni ukafiri. Pale alipoacha swalah kwa kukusudia alikuwa kafiri. Ni wajibu kwake kusilimu upya, ahifadhi swalah na atubu kwa Allaah.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (86) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/NEW.lite_.mp3
- Imechapishwa: 30/06/2018
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)