Swali: Adhaana sikioni mwa mtoto imesihi? Ni Sunnah?
Jibu: Ndio. Ni kitendo kimekuja katika baadhi ya Hadiyth. Lakini katika cheni za wapokezi wake kuna kitu. Amezitaja Ibn-ul-Qayyim katika “Tuhfat-ul-Waduud fiy Ahkaam-il-Uluud”. Kwa hiyo hakuna neno akiadhiniwa na akakimiwa sikioni mwake.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (08) http://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191309#219638
- Imechapishwa: 15/02/2019
Swali: Adhaana sikioni mwa mtoto imesihi? Ni Sunnah?
Jibu: Ndio. Ni kitendo kimekuja katika baadhi ya Hadiyth. Lakini katika cheni za wapokezi wake kuna kitu. Amezitaja Ibn-ul-Qayyim katika “Tuhfat-ul-Waduud fiy Ahkaam-il-Uluud”. Kwa hiyo hakuna neno akiadhiniwa na akakimiwa sikioni mwake.
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (08) http://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191309#219638
Imechapishwa: 15/02/2019
https://firqatunnajia.com/ar-raajihiy-kumuadhinia-na-kumkimia-mtoto-mchanga/