Swali: Je, ´Aqiydah sahihi inatosha bila matendo na kusimama sawasawa juu ya Shari´ah ya Allaah?
Jibu: ´Aqiydah pekee haitoshi bila ya matendo. Ni lazima kuwe na matendo:
إِنَّ الَّذِينَ آمَنُوا وَعَمِلُوا الصَّالِحَاتِ لَهُمْ جَنَّاتُ النَّعِيمِ
“Hakika wale walioamini na wakafanya mema watapata mabustaani yenye neema.”[1]
Ni lazima yawepo matendo. Mtu amwamini Allaah, Mtume wake, aamini kuabudiwa kwa Allaah pekee, atekeleze faradhi za Allaah na aache yaliyoharamishwa na Allaah. Ni lazima kuwepo na yote mawili:
إِنَّ الَّذِينَ آمَنُوا وَعَمِلُوا الصَّالِحَاتِ لَهُمْ جَنَّاتُ النَّعِيمِ
“Hakika wale walioamini na wakafanya mema watapata mabustaani yenye neema.”
Hivyo basi ni lazima kuwe na imani na matendo.
[1] 31:08
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/30048/هل-تكفي-صحة-المعتقد-عن-الاستقامة-على-الشرع
- Imechapishwa: 05/09/2025
Swali: Je, ´Aqiydah sahihi inatosha bila matendo na kusimama sawasawa juu ya Shari´ah ya Allaah?
Jibu: ´Aqiydah pekee haitoshi bila ya matendo. Ni lazima kuwe na matendo:
إِنَّ الَّذِينَ آمَنُوا وَعَمِلُوا الصَّالِحَاتِ لَهُمْ جَنَّاتُ النَّعِيمِ
“Hakika wale walioamini na wakafanya mema watapata mabustaani yenye neema.”[1]
Ni lazima yawepo matendo. Mtu amwamini Allaah, Mtume wake, aamini kuabudiwa kwa Allaah pekee, atekeleze faradhi za Allaah na aache yaliyoharamishwa na Allaah. Ni lazima kuwepo na yote mawili:
إِنَّ الَّذِينَ آمَنُوا وَعَمِلُوا الصَّالِحَاتِ لَهُمْ جَنَّاتُ النَّعِيمِ
“Hakika wale walioamini na wakafanya mema watapata mabustaani yenye neema.”
Hivyo basi ni lazima kuwe na imani na matendo.
[1] 31:08
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/30048/هل-تكفي-صحة-المعتقد-عن-الاستقامة-على-الشرع
Imechapishwa: 05/09/2025
https://firqatunnajia.com/aqiydah-sahihi-pekee-inatosha-bila-ya-matendo-na-kusimama-imara/