Swali: Baadhi ya watu watu wanaenda kwa wasomaji wafanyao Ruqyah kwa kuwa wana Imani yenye nguvu. Je, nguvu ya Imani ya msomaji ina taathira katika Ruqyah pamoja na Qur-aan?
Jibu: Ni jambo lisilokuwa na shaka. Nguvu ya Imani na ´Aqiydah sahihi, hili ni jambo lenye taathira kwa idhini ya Allaah.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://youtu.be/sVQ3GUKs2FA
- Imechapishwa: 10/03/2018
Swali: Baadhi ya watu watu wanaenda kwa wasomaji wafanyao Ruqyah kwa kuwa wana Imani yenye nguvu. Je, nguvu ya Imani ya msomaji ina taathira katika Ruqyah pamoja na Qur-aan?
Jibu: Ni jambo lisilokuwa na shaka. Nguvu ya Imani na ´Aqiydah sahihi, hili ni jambo lenye taathira kwa idhini ya Allaah.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://youtu.be/sVQ3GUKs2FA
Imechapishwa: 10/03/2018
https://firqatunnajia.com/aqiydah-sahihi-na-ya-nguvu-inaathira-ruqyah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)