Swali: Katika mambo mengi utamuona mtu anaapa kwa kuweka mkono juu ya musahafu. Je, njia hii ni sahihi au inatosha kwa mtu kuapa tu kwa jina la Allaah?
Jibu: Inatosha kwa mtu kuapa kwa jina la Allaah pasi na kuweka mkono wake juu ya musahafu.
- Muhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alifta.net/Fatawa/fatawaChapters.aspx?languagename=ar&View=Page&PageID=8812&PageNo=1&BookID=3
- Imechapishwa: 27/05/2018
Swali: Katika mambo mengi utamuona mtu anaapa kwa kuweka mkono juu ya musahafu. Je, njia hii ni sahihi au inatosha kwa mtu kuapa tu kwa jina la Allaah?
Jibu: Inatosha kwa mtu kuapa kwa jina la Allaah pasi na kuweka mkono wake juu ya musahafu.
Muhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alifta.net/Fatawa/fatawaChapters.aspx?languagename=ar&View=Page&PageID=8812&PageNo=1&BookID=3
Imechapishwa: 27/05/2018
https://firqatunnajia.com/apa-kwa-jina-la-allaah-pasi-na-kuweka-mkono-juu-ya-musahafu/