Swali 135: Je, haijapokewa katika baadhi ya njia za Hadiyth ya ´Aaishah:
“Ilikuwa inampendeza kuanza kwa upande wa kulia katika kuvaa viatu vyake na katika kutengeneza nywele zake…”
Vipi kuhusu ziada inayosema:
”… na katika Siwaak yake.”?
Jibu: Maana yake ni upande wa kulia wa mdomo, sehemu ya kulia ya mdomo.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 65
- Imechapishwa: 26/03/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
Swali 135: Je, haijapokewa katika baadhi ya njia za Hadiyth ya ´Aaishah:
“Ilikuwa inampendeza kuanza kwa upande wa kulia katika kuvaa viatu vyake na katika kutengeneza nywele zake…”
Vipi kuhusu ziada inayosema:
”… na katika Siwaak yake.”?
Jibu: Maana yake ni upande wa kulia wa mdomo, sehemu ya kulia ya mdomo.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 65
Imechapishwa: 26/03/2025
Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
https://firqatunnajia.com/anza-upande-wa-kulia-wa-mdomo/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket