Swali 135: Je, haijapokewa katika baadhi ya njia za Hadiyth ya ´Aaishah:
“Ilikuwa inampendeza kuanza kwa upande wa kulia katika kuvaa viatu vyake na katika kutengeneza nywele zake…”
Vipi kuhusu ziada inayosema:
”… na katika Siwaak yake.”?
Jibu: Maana yake ni upande wa kulia wa mdomo, sehemu ya kulia ya mdomo.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 65
- Imechapishwa: 26/03/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)