Swali: Baadhi ya watu wanasema kuwa mtu wa kawaida haitakiwi kwake kujishughulisha kuyasoma mambo ya ´Aqiydah kama mfano wa Allaah kuwa juu na mengineyo?
Jibu: ´Aqiydah ndio somo muhimu zaidi. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikaa akithibitisha ´Aqiydah kwa muda wa miaka kumi na tatu akiwa Makkah. Miaka yote hii ilikuwa inahusu ´Aqiydah. ´Aqiydah ndio msingi wa dini.
Swali: Mwenye kusema hivi anazingatiwa ni katika wanachuoni?
Jibu: Hapana. Hazingatiwi ni katika wanachuoni. Anazingatiwa ni katika wajinga.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Kashf-ish-Shubuhaat, uk. 34
- Imechapishwa: 12/06/2019
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket