Swali: Ni ipi hukumu kwa mwenye kupenda na kuwasifu Ahl-ul-Bid´ah? Je, anaingia katika wao kwa tendo hilo?
Jibu: Ikiwa anawasifu Ahl-ul-Bid´ah, kama mfano wa Mu´tazilah, Ashaa´irah, Raafidhwah, Jahmiyyah, Khawaarij na Murji-ah, ndio anaingia katika wao. Kwa sababu ina maana anakubaliana nao. Mwenye kuwasifu Ahl-ul-Bid´ah anakubaliana nao. Anawapenda Ahl-ul-Bid´ah na anachukia Sunnah. Hakuwasifu Ahl-ul-Bid´ah isipokuwa ni kwa sababu anachukia Sunnah na Ahl-us-Sunnah.
Ama ikiwa yuko na utata na hajui na ametatizwa, anatakiwa abainishiwe.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajhiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://subulsalam.com/play.php?catsmktba=13967
- Imechapishwa: 17/11/2014
Swali: Ni ipi hukumu kwa mwenye kupenda na kuwasifu Ahl-ul-Bid´ah? Je, anaingia katika wao kwa tendo hilo?
Jibu: Ikiwa anawasifu Ahl-ul-Bid´ah, kama mfano wa Mu´tazilah, Ashaa´irah, Raafidhwah, Jahmiyyah, Khawaarij na Murji-ah, ndio anaingia katika wao. Kwa sababu ina maana anakubaliana nao. Mwenye kuwasifu Ahl-ul-Bid´ah anakubaliana nao. Anawapenda Ahl-ul-Bid´ah na anachukia Sunnah. Hakuwasifu Ahl-ul-Bid´ah isipokuwa ni kwa sababu anachukia Sunnah na Ahl-us-Sunnah.
Ama ikiwa yuko na utata na hajui na ametatizwa, anatakiwa abainishiwe.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajhiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://subulsalam.com/play.php?catsmktba=13967
Imechapishwa: 17/11/2014
https://firqatunnajia.com/anayewasifu-na-kuwapenda-ahl-ul-bidah-ni-katika-wao/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)