Swali: Je, zawadi inatolewa zawadi kumpa mwingine na kuuzwa?
Jibu: Ndio.
Swali: Wako wanaosema kuwa haitolewi zawadi na wala hauzwi?
Jibu: Hapana, hayo ni maneno ya mjinga.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/25383/هل-الهدية-تهدى-وتباع
- Imechapishwa: 08/03/2025
Swali: Je, zawadi inatolewa zawadi kumpa mwingine na kuuzwa?
Jibu: Ndio.
Swali: Wako wanaosema kuwa haitolewi zawadi na wala hauzwi?
Jibu: Hapana, hayo ni maneno ya mjinga.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/25383/هل-الهدية-تهدى-وتباع
Imechapishwa: 08/03/2025
https://firqatunnajia.com/anayesema-kuwa-zawadi-hauzwi/