Swali: Anayeficha ushahidi kwa kuchelea juu ya nafsi yake?
Jibu: Allaah anasema:
تَكْتُمُوا الشَّهَادَةَ ۚ وَمَن يَكْتُمْهَا فَإِنَّهُ آثِمٌ قَلْبُهُ
”Msifiche ushahidi; na mwenye kuuficha basi hakika moyo wake ni wenye kutenda dhambi.”[1]
Ni lazima kwake kutekeleza ushahidi. Hata hivyo ikiwa hali inapelekea kwamba anaogopa kuuliwa anapewa udhuru. Lakini ahakikishe – kwa kiasi cha inavowezekana – kuutimiza kwa njia yoyote. Ingawa kwa njia ambayo haitotambulika kuwa si yeye ndiye ametoa ushahidi huo. Hakimu anaweza kusema:
“Nimepewa ushahidi na watu waadilifu au nimepewa ushahidi hivi.”
Ikiwa hakimu anaweza kufanya hivo.
[1] 02:283
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23927/ما-حكم-من-كتم-الشهادة-خوفا-على-نفسه
- Imechapishwa: 01/06/2024
Swali: Anayeficha ushahidi kwa kuchelea juu ya nafsi yake?
Jibu: Allaah anasema:
تَكْتُمُوا الشَّهَادَةَ ۚ وَمَن يَكْتُمْهَا فَإِنَّهُ آثِمٌ قَلْبُهُ
”Msifiche ushahidi; na mwenye kuuficha basi hakika moyo wake ni wenye kutenda dhambi.”[1]
Ni lazima kwake kutekeleza ushahidi. Hata hivyo ikiwa hali inapelekea kwamba anaogopa kuuliwa anapewa udhuru. Lakini ahakikishe – kwa kiasi cha inavowezekana – kuutimiza kwa njia yoyote. Ingawa kwa njia ambayo haitotambulika kuwa si yeye ndiye ametoa ushahidi huo. Hakimu anaweza kusema:
“Nimepewa ushahidi na watu waadilifu au nimepewa ushahidi hivi.”
Ikiwa hakimu anaweza kufanya hivo.
[1] 02:283
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23927/ما-حكم-من-كتم-الشهادة-خوفا-على-نفسه
Imechapishwa: 01/06/2024
https://firqatunnajia.com/anayeficha-ushahidi-kwa-kukhofia-juu-ya-nafsi-yake/