Anatokwa na upepo kila wakati

Swali: Ambaye anatokwa na upepo kila wakati ana hukumu moja kama ambaye ana ugonjwa wa kutokwa na mkojo hovyo?

Jibu: Hapana, huyu anazingatiwa ni mwenye hadathi ya siku zote kwa sababu ya kutokwa na upepo kila wakati. Anatakiwa kutawadha wakati wa kutaka kuswali. Pale anapotaka kuswali ndipo anatakiwa kutawadha. Akitokwa na kitu swalah yake ni sahihi.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (103) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighastah-6-3-1441_1.mp3
  • Imechapishwa: 10/01/2021