Swali: Mtazamo wa mwenye kuswali unatakiwa uwe wapi ndani ya swalah?
Jibu: Sunnah ni kwamba atazame mahali pa kusujudia wakati wa kusimama, na pia wakati wa kurukuu kwake. Ama katika hali ya kuketi chini, aangalie mahali anapoashiria kwa kidole chake anapokaa kwa ajili ya Tashahhud au kati ya sijda mbili, aangalie mahali pa ishara, kama ilivyokuja katika Sunnah kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (29/244)
- Imechapishwa: 02/03/2026
Swali: Mtazamo wa mwenye kuswali unatakiwa uwe wapi ndani ya swalah?
Jibu: Sunnah ni kwamba atazame mahali pa kusujudia wakati wa kusimama, na pia wakati wa kurukuu kwake. Ama katika hali ya kuketi chini, aangalie mahali anapoashiria kwa kidole chake anapokaa kwa ajili ya Tashahhud au kati ya sijda mbili, aangalie mahali pa ishara, kama ilivyokuja katika Sunnah kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (29/244)
Imechapishwa: 02/03/2026
https://firqatunnajia.com/anatazama-wapi-mwenye-kuswali/
Mshirikishe mwenzako:
- Share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Print (Opens in new window) Print
- Email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Share on X (Opens in new window) X
- Share on Pocket (Opens in new window) Pocket