Swali: Vipi pale ambapo kujeruhi na kusifu kunakinzana katika Hadiyth?

Jibu: Hutangulizwa kujeruhi ikiwa kumetoka kwa imamu miongoni mwa maimamu wanaojua sababu za kutoa kasoro na akabainisha wazi kama vile kusema ´mwenye hifadhi mbaya´, ´mwongo`, kwa msemo mwingine ni kwamba amebainisha sababu za kumkosoa na awe huyo anayekosoa ni imamu anayejulikana.

Swali: Vipi ikiwa anatambulika kwa ukali kama an-Nasaa’iy?

Jibu: Haijalishi kitu, muda wa kuwa amebainisha sababu.

  • Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
  • Tarjama: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/31197/ما-الحكم-اذا-تعارض-الجرح-والتعديل-في-الحديث
  • Imechapishwa: 11/10/2025