Swali: Mimi ni kijana ambaye natakiwa kufanya huduma za kijeshi ndani ya nchi. Wamenishurutishia kunyoa ndevu. Je, niwatii katika hilo?
Jibu: Hapana. Achana na uanajeshi. Allaah atakutunukia kitu kingine.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (21) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/1434-08-14.mp3
- Imechapishwa: 21/05/2018
Swali: Mimi ni kijana ambaye natakiwa kufanya huduma za kijeshi ndani ya nchi. Wamenishurutishia kunyoa ndevu. Je, niwatii katika hilo?
Jibu: Hapana. Achana na uanajeshi. Allaah atakutunukia kitu kingine.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (21) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/1434-08-14.mp3
Imechapishwa: 21/05/2018
https://firqatunnajia.com/anatakiwa-kunyoa-ndevu-jeshini/