Swali: Tunaishi Uingereza na mama yetu ambaye ni mgonjwa sana na madaktari wamesema kuwa hayuko mbali na kufa. Mama anatuomba akifa basi tumzike Pakistan na tumsafirishe huko. Je, ni lazima kwetu kumtii na kufanya hivo ni katika kuwatendea wema wazazi?
Jibu: Ikiwa ni rahisi kwenu, basi tekelezeni wasia wake. Lakini ikiwa ni vigumu kwenu kufanya hivo, mzikeni pamoja na waislamu mahali popote
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (67)
- Imechapishwa: 10/03/2022
Swali: Tunaishi Uingereza na mama yetu ambaye ni mgonjwa sana na madaktari wamesema kuwa hayuko mbali na kufa. Mama anatuomba akifa basi tumzike Pakistan na tumsafirishe huko. Je, ni lazima kwetu kumtii na kufanya hivo ni katika kuwatendea wema wazazi?
Jibu: Ikiwa ni rahisi kwenu, basi tekelezeni wasia wake. Lakini ikiwa ni vigumu kwenu kufanya hivo, mzikeni pamoja na waislamu mahali popote
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (67)
Imechapishwa: 10/03/2022
https://firqatunnajia.com/anataka-kuzikwa-pakistan/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)