Swali: Nimemtaliki mwanamke ambaye tayari tulikuwa tumeshazaa nae. Kila mwezi namtumia yeye na watoto wake matumizi. Lakini ananifanyia tabia mbaya na wala hatumii matumizi hayo vizuri. Je, inajuzu kwangu kumcheleweshea matumizi kwa lengo ka kumtia adabu?
Jibu: Matumizi ni kwa ajili ya watoto wako. Je, unataka kuwaadhibu watoto wako kwa sababu ya mwanamke huyu? Hapana. Matumizi ni kwa ajili ya watoto wako.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (58) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/15-01-1438-ighastat.mp3
- Imechapishwa: 25/10/2017
Swali: Nimemtaliki mwanamke ambaye tayari tulikuwa tumeshazaa nae. Kila mwezi namtumia yeye na watoto wake matumizi. Lakini ananifanyia tabia mbaya na wala hatumii matumizi hayo vizuri. Je, inajuzu kwangu kumcheleweshea matumizi kwa lengo ka kumtia adabu?
Jibu: Matumizi ni kwa ajili ya watoto wako. Je, unataka kuwaadhibu watoto wako kwa sababu ya mwanamke huyu? Hapana. Matumizi ni kwa ajili ya watoto wako.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (58) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/15-01-1438-ighastat.mp3
Imechapishwa: 25/10/2017
https://firqatunnajia.com/anataka-kuwacheleweshea-watoto-matumizi-kwa-makosa-ya-mama/