Swali: Nimemtaliki mwanamke ambaye tayari tulikuwa tumeshazaa nae. Kila mwezi namtumia yeye na watoto wake matumizi. Lakini ananifanyia tabia mbaya na wala hatumii matumizi hayo vizuri. Je, inajuzu kwangu kumcheleweshea matumizi kwa lengo ka kumtia adabu?
Jibu: Matumizi ni kwa ajili ya watoto wako. Je, unataka kuwaadhibu watoto wako kwa sababu ya mwanamke huyu? Hapana. Matumizi ni kwa ajili ya watoto wako.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (58) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/15-01-1438-ighastat.mp3
- Imechapishwa: 25/10/2017
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket