Anataka kurudi mji wake baada ya kukaa miaka 4 kwa al-Fawzaan

Swali: Nimetakharuji katika chuo kikuu cha nchi hii. Unaninasihi nini pamoja na kuzingatia ya kwamba nimehudhuria darsa zako kwa miaka nne na hivi nataka kusafiri kurudi katika mji wangu?

Jibu: Namnasihi kumcha Allaah (´Azza wa Jall), ueneze elimu na Da´wah kwa watu wa nchi yako. Itakuwa ni kheri kubwa kwako na kwao endapo Allaah (Ta´ala) atapenda hilo.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (35) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighasah%20%20-%2017-%2010-1436.mp3
  • Imechapishwa: 12/02/2017