Swali: Je, ni bora kwa mtu anayetaka kukaa I´tikaaf kuingia baada ya Magharib siku ya tarehe 20 ili aweze kuhuisha usiku?
Jibu: Hakuna tatizo na hakuna kizuizi. Lakini Sunnah ni kuingia baada ya swalah ya Fajr, kwa ajili ya kumwigiliza Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/25440/ما-السنة-في-وقت-بدء-الاعتكاف
- Imechapishwa: 20/03/2025
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)