Swali: Vipi mtu akiombwa kumfanyia matabano mwingine?
Jibu: Yeye ndiye anajijua zaidi. Akimuomba yeye ndiye anajijua zaidi. Mwombwaji ana khiyari; akitaka ataitikia na akitaka ataacha. Mwombwaji ana khiyari; akiitikia ni sawa na akiacha ni sawa. Jambo ni lenye wasaa. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ameamrisha kufanya matabano kutokana na kijicho na homa. Kwa hivyo hilo likafahamisha kwamba imesuniwa kwa mwombwaji kuitikia ili aweze kumnufaisha ndugu yake.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24373/ما-الحكم-اذا-سىل-الانسان-ان-يرقي-غيره
- Imechapishwa: 03/10/2024
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)