Swali: Kuhusiana na funga ya Nabii Daawuud ambapo anafunga siku moja na kufungua siku ya kufuata ni swawm imewekwa katika Shari´ah. Lakini jambo hili likipelekea mtu akaharibu baadhi ya mambo ya wajibu. Je, katika hali hii inakuwa inakubalika Kishari´ah juu yake kama kwa mfano analala wakati wa swalah?
Jibu: Anaharibu mambo ya wajibu kisha anafanya jambo lililopendekezwa? Haijuzu. Anatakiwa kuhifadhi mambo ya wajibu kwanza. Baada ya hapo ndio afanye yale mambo yaliyopendekezwa.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (88) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/igahssat.mp3
- Imechapishwa: 18/09/2018
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)